Kisa kinchosisimua cha msichana suzani kinaendelea
dellytv.
najua unajua,ila nataka ujue zaidi ungana na mimi keneddelly nikupatie unachoitaji
Friday 22 July 2016
Thursday 21 July 2016
NBA live facebook
Kutokana na ukuaji wa technologia,leo ligi ya kikapu ya marekani imesaini mkataba na kampuni ya facebook ili mpira wa kikapu uwe unaruka live..
Kutokana na jarida la usa today limesema ligi hiyo ya NBA itaruka kupitia NBAtv
Klopp amnasa winjn
Newcastle imekubali dau la pauni million 25 kumuachia midfielder wao geoginio wijnaldum kwenda liverpool
Chanzo cha sun football kimeripoti
Gotze arudi nyumbani
Mario gotze amerudi kwenye klabu ya mwanzo ya borussia dortmund baada ya miaka mitatu akiichezea bayern munich
Chanzo cha sunfootball kimeripot leo...
Wednesday 20 July 2016
Mata mechi moja kwenye tatu
Meneja wa united jose mourinho amemwabia mata kuwa ni lazima abaki united ila atakuws anacheza mechi moja tu kwenye mechi tatu za timu hiyo
Chanzo ni jarida la sun football
Winga wa schalke leroy sune amefanikiwa kusaini mkataba na mancity kwa kitita cha pauni million 42 kwa,miaka tarkribani minne
Manchester united yafunja benki kwa kumnasa paul pogba kwa kitita cha pauni million 105
Manchester united imevunja rekodi kwa kuiambia juve kuwa itaipa pauni million 105 ili kupata paul pogba ...hii imetoka kwenye jarida la sun football