Meneja wa united jose mourinho amemwabia mata kuwa ni lazima abaki united ila atakuws anacheza mechi moja tu kwenye mechi tatu za timu hiyo
Chanzo ni jarida la sun football
Winga wa schalke leroy sune amefanikiwa kusaini mkataba na mancity kwa kitita cha pauni million 42 kwa,miaka tarkribani minne
No comments:
Post a Comment