Baada ya china kuendeleza uvumbuzi wa technogia mpya......leo wamefungua rasmi kituo chao kipya cha darubini....
Wataalam wanasema dishi ambalo limekwa umbali kilometa moja kutoka kwenye mji wa xinshua lina paneli zaidi ya 4450
Serikali ya china imegalimikia zaidi ya dola za kimarekani million 180
Ukubwa wa dishi unaweza ukajaza chupa za wine za watu zaidi ya billion saba......
Sunday 17 July 2016
Darubini kubwa kuliko zote duniani ya tengenezwa china.....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment