Sunday 17 July 2016

Darubini kubwa kuliko zote duniani ya tengenezwa china.....

Baada ya china kuendeleza uvumbuzi wa technogia mpya......leo wamefungua rasmi kituo chao kipya cha darubini....
Wataalam wanasema  dishi ambalo limekwa umbali kilometa moja kutoka kwenye mji wa xinshua lina paneli zaidi ya 4450
Serikali ya china imegalimikia zaidi ya dola za kimarekani million 180
Ukubwa wa dishi  unaweza ukajaza chupa za wine za watu zaidi ya billion saba......

No comments:

Post a Comment