Supastaa wa filamu za kiindi alietengeneza jina kwenye filamu yake ya sultani...salman khani amesema baba yake mzazi akupenda kamwe yeye awe muigizaji bali alipenda awe mcheza cricket maarufu india.
Akizungumza kwenye mkutano wa tennisia star huko india alisema...
"Baba yangu alinitaka mimi niwe mchezaji wa cricket maarufu india mpaka akanitafutia mwalimu wa kunifundisha pale nyumbani.
Ilikuwa inanifanya muda mwingine nachelewa shule kwa kuwa nilikuwa nafanya mazoezi ya kutosha sana"..
Salmani aliongezea kuwa kamwe alikuwa hakuwai kuvutiwa na mchezo huo ingawa baba yake alimulazamisha.....
Ila kuupenda kuupendapokuwanilmkubwaa
Monday 18 July 2016
Baba akutaka niwe muigizaji,salman khani atoa kauli ya kustaajabisha...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment